Skygen Foundation Tanzania.

80% Donated of Tsh 200000

Eye checking and correctness services sponsored by SkyGen International  from United State of America. Working in Arumeru district involving two Dioceses, ELCT Diocese of Meru and ELCT North Central Diocese

Mradi wa Mbuzi na Ng'ombe

80% Donated of Tsh 200000

Ni mradi unaofadhiliwa na wadau wa Dayosisi kama Echo East Africa, Msaada wa Mbuzi na Ng'ombe unatolewa kwa kaya zenye uchumi mdogo ili kujikwamua kiuchumi.

Special Education Training Unit (SETU)

80% Donated of Tsh 200000

Ni programu iliyopo chini ya KKKT Dayosisi ya Meru katika Chuo cha wenye Ulemavu inayosimamiwa na MONA BEHNINGER 

Programu ya SETU inajihusisha na mambo matatu ambayo ni:

  1. Madarasa mawili kwa watu wenye changamoto ya akili wa rika mbali mbali.
  2. Kozi ya Mafunzo maalum kwa wawezeshaji wakiwemo waalimu,wachungaji,wainjilistikuwapa elimu na mafunzo ya kuelimisha na kuwahudumia watu wenye mahitaji maalum.
  3. Karakana:Mahali pa kazi kwa watu wazima wenye changamoto ya ulemavu wa akili.

Kwa maelezo zaidi bonyeza SETU